Akil The Brain kuzindua kichupa EATV

Msanii wa bongofleva nchini Akil Ze Brain

Msanii wa miondoko ya Bongofleva Akil Ze Brain wa nchini Tanzania ambaye amekuwa kimya kwa muda akijiandaa kutoka na kazi mpya tayari amekamilisha kichupa chake kipya alichokibatiza jina 'Habibty' alichomshirikisha msanii maarufu nchini Saraha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS