Radio & Weasle wamtwaa Labeja

wasanii wa kundi la Goodlyfe Mose Radio na Weasle wa Uganda

Siku kadhaa baada ya msanii Bobi Wine kumsimamisha kazi aliyekuwa Meneja wake, Lawrence Labeja, wasanii Radio pamoja na Weasel wameamua kumchukua jamaa huyu na kumpa kazi ya kusimamia kazi zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS