Chameleone naye kusapoti The Cranes Jose Chameleone (katikati) akiwa na timu yake Siku kadhaa baada ya msanii Bebe Cool kutoka Uganda kuchaguliwa kuwa balozi wa timu ya soka ya taifa ya Uganda, Chameleone naye amechukua hatua ya kizalendo na kurekodi wimbo maalum kwaajili ya timu hiyo. Read more about Chameleone naye kusapoti The Cranes