JUKATA kuandamana kufunga Bunge Maalum la Katiba

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba.

Jukwaa la Katiba nchini Tanzania limeonya kuwa litahamisha maandamano ya wananchi kutoka sehemu mbali mbali nchini, kwenda kufunga ofisi za Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS