D Knob aingia chimbo kusuka ngoma msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini D Knob Rapa D Knob wa nchini Tanzania, amesema kuwa yupo chimbo na prodyuza Villy kutoka Mwanalizombe na Marco Chali pia wa MJ kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa rekodi 3 za nguvu kabla mwaka huu haujakwisha. Read more about D Knob aingia chimbo kusuka ngoma