Gabu ajitosa kupambana na saratani

msanii wa kundi la P-Unit nchini Kenya Gabu

Msanii wa muziki anayefanya shughuli zake katika kundi la P Unit kutoka Kenya, Gabriel Kagundu maarufu kama Gabu, ameingia rasmi katika kampeni ya kupambana na ugonjwa wa Saratani nchini Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS