Watanzania Mil 25 wanatumia vipodozi hatari Baadhi ya vipodozi vilivyopigwa marufuku kutokana na kusababisha madhara ya kiafya. Asilimia 52 ya Watanzania wanawake kwa wanaume imedaiwa kuwa wanatumia vipodozi ambavyo si salama kwa afya zao na ambavyo matumizi yake yamepigwa marufuku nchini. Read more about Watanzania Mil 25 wanatumia vipodozi hatari