Madereva mabasi ya mikoani wana leseni bandia
Idadi kubwa ya madereva wa mabasi ya abiria katika kituo kikuu cha mabasi cha Ubungo jijini Dar es Salaam, imedaiwa kuwa wanamiliki leseni bandia za udereva na ambazo hazikidhi sifa za kuendesha mabasi ya abiria.