Chadema yataka ufanyike uchaguzi serikali za mitaa

Katibu Mkuu wa Chadema Dkt Wilbrod Slaa.

Serikali ya Tanzania imetakiwa kuitisha uchaguzi wa serikali za mitaa, ambao hufanyika kila baada ya mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu, pamoja na utekelezaji wa shughuli za uboreshaji wa daftari la wapiga kura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS