TCRA yaonya kuhusu matumizi mabaya ya mitandao

Msemaji wa Mamlaka ya Mawasiliano TCRA Bw. Innocent Mungy.

Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania TCRA imeonya kuwa itawachukulia hatua kali baadhi ya watu wanaotumia vibaya huduma za mawasiliano ya simu na mtandao wa intaneti, hasa wale wanaodhalilisha pamoja na kuhatarisha amani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS