Maximo ataka muda zaidi kwa Maproo Yanga SC

Kocha mkuu wa timu ya Yanga kushoto pichani Mbarazil Marcio Maximo.

Baada ya kucheza kwa mara ya kwanza katika uwanja wa taifa klabu ya soka ya Yanga ikiwa na kikosi kipya chini ya Mbrazil Marcio Maximo na kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Thika United toka Kenya na timu kuonesha kiwango duni hatimaye

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS