Kikwete aahidi kushughulikia migogoro ya ardhi

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais wa Tanzania DK. Jakaya Kikwete amesema kuwa atawakusanya viongozi wa mikoa yote yenye migogoro baina ya wakulima na wafugaji ilikuangalia jinsi ya kutatua matatizo yao na kuhakikisha wakulima na wafugaji wanaishi kwa amani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS