Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Sophia Simba. Waziri Simba wizara yake ndiyo yenye jukumu la kusimamia ulinzi wa haki za watoto nchini Tanzania.
Kukosekana kwa vyombo vya usimamizi na kuratibu maendeleo ya mtoto kumetajwa kuwa ni sababu ya kuongezeka kwa vitendo vya ukatili kwa watoto ikiwemo suala la ndoa za utotoni.