Wananchi washauri watoto wasilazwe na wageni

Baadhi ya wananchi wa Kata ya Goba

Tabia ya baadhi ya wazazi na walezi kuwalaza watoto wao chumba kimoja na wageni wanaofika majumbani mwao bila kujua undani wa tabia zao imetajwa kuchangia kuongezeka kwa matukio ya ubakaji na ulawiti kwa watoto kutokana na wengi wao kurubuniwa kwa vijizawadi kama vile pipi, soda na biskuti

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS