YASINI HAJI MOHAMEDI

Nimezaliwa 1994 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi nim mtoto wa 4 katika familia ya watoto 6 nina kaka 2 na dada 3

Ninaishi TEMEKE na WAZAZI WANGU

Mtaani kwangu najulikana kwa KISIKI

Mimi nimesoma mpaka FORM FOUR

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: KURUKA SARAKASI

 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS