Ukarabati kituo cha umeme Kipawa karibu kukamilika

Meneja wa Tanesco Mkoa wa Ilala, Mhandisi Atanasius Nangali.

Kazi ya ukarabati wa kituo kikubwa cha kusambazia umeme cha Kipawa ambacho kilipata hitilafu na kuharibika juzi saa Saba usiku inaelekea kukamilika baada ya maeneo mengi yaliyoathiriwa na hitilafu hiyo kuanza kupata umeme.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS