ISIAKA KHAMISI RAMADHANI
Nimezaliwa mwaka 1992 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 3 katika familia ya watoto 3 Nina kaka 1 na dada 1
Ninaish MABIBO na FAMILIA
Mtaani kwangu najulikana kwa B-BOY BOIKI
Mimi nimesoma mpaka FORM 4
Shughuli zangu za kiloa siku (zaidi ya kucheza dansi) ni: MPIRA WA MIGUU