MAGANGA AMILI

Nimezaliwa mwaka 1986 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa 4 katika familia ya watoto 6 Nina kaka 3 na dada 2

Ninaishi TEGETA na WAZAZI

Mtaani kwangu najulikana kwa DOGO MALOW

Mimi nimesoma mpaka DARASA LA SABA (7)

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: MPIRA

 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS