LALLY COSMAS
Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 5 katika familia ya watoto 5 Nina kaka 1 na dada 3
Ninaishi BABA na MAMA
Mtaani kwangu najulikana kwa KUDANSI
Mimi nimesoma mpaka KIDATO CHA NNE
shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni: KUCHOTA MAJI NA KUFANYA USAFI KWANGU TUU