M Rap hataki kujiingiza katika mapenzi

msanii wa kizazi kipya M-Rap wa nchini Tanzania

Rapa wa Bongo Flava mwenye umri mdogo, M Rap Lion amesema kuwa, kutokana na hali halisi sasa ya vijana kujiingiza katika mapenzi katika umri mdogo, yeye akiwa kama mfano kwa mashabiki wake ameamua kuachana kabisa na masuala ya mapenzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS