Dabo kutoa kazi mpya EATV

msanii wa muziki wa reggae na dancehall nchini Dabo

Dabo, Msanii ambaye anafanya poa katika miondoko ya Ragga na Dancehall hapa Tanzania, baada ya kufanya vizuri na project ya Mimi na Wewe, ametangaza kutoa zawadi kwa mashabiki wake hapo kesho kupitia EATV.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS