Mabaga Fresh Warejea kazini

Mabaga Fresh Jukwaani

Lile kundi lililotamba miaka ya nyuma katika muziki wa Bongo Flava ambalo liliwahusisha walemavu wenye vipaji wawili na kujipa jina Mabaga Fresh, limeamua kuungana tena katika gemu kwa kuachia wimbo wao mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS