Kesi ya Bunge La Katiba kutajwa Septemba 4
Ombi la kuiomba Mahakama kuu nchini Tanzania itoe amri ya kisimamisha Bunge maalumu la Katiba lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari Saed Kubenea litatajwa Septemba 4 na kuanza kusikilizwa Septemba 15 katika Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam