Dance100% kuingia nusu fainali

mashindano ya kucheza muziki nchini Dance100% 2014

Makundi 10 yaliyofanikiwa kutimba katika nusu fainali ya mashindano makubwa ya Dance 100% 2014, leo hii yameweza kufika katika ofisi za EATV kwaajili ya maelekezo na uchaguzi wa nyimbo ambazo watatumia katika mpambano kuelekea fainali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS