Tanzania yaendelea kung'ara michuano ya FEASSA

Baadhi ya wachezaji wa timu za shule za sekondari za EA wakichuana katika mechi ya michuano ya FEASSA.

Vipaji na kujituma kunakooneshwa na wachezaji wa michezo mbalimbali kutoka Tanzania katika michuano ya shule za sekondari kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki kunawapa matumaini ya kufanya vema katika michuano hiyo msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS