Rais Mstaafu Mkapa alia na ukosefu wa maadili
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu nchini Tanzania Mh. Benjamini William Mkapa amesema tatizo la maadili kwa viongozi na watumishi wa umma halijapewa uzito unaostahili katika kulidhibiti na hivyo kusababisha wananchi kukosa huduma muhimu na za msingi.