Serikali yatakiwa ichunguze mauaji ya albino
Tume ya haki za binadamu na utawala Bora nchini Tanzania imeitaka serikali kufanya uchunguzi wa kina kubaini wanaochochea, kufadhili na kutekeleza vitendo vya mauaji na ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino).