Dabo kuwania tuzo kimataifa

msanii wa miondoko ya reggae nchini Dabo

Msanii bora wa muziki wa Reggae Tanzania, DABO amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa, baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo kubwa kabisa za muziki za International Reggae and World Music.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS