Tanzania yataka ifidiwe mabadiliko ya tabia nchi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Binilith Mahenge.

Tanzania kesho itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa mawaziri wa mazingira na mambo ya nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu mabadiliko ya tabia nchini, ambapo Rais Jakaya Kikwete ndio mwenyekiti wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS