ADC yatoa tahadhari kuhusu usalama

Wafuasi wa chama cha upinzani cha Alliance for Democratic Change ADC wakifurahia mara baada ya chama hicho kupata usajili wa kudumu.

Viongozi wa serikali na vyama vya siasa nchini Tanzania wametahadharishwa kuwa makini na suala la mchakato wa Katiba mpya, kutokana na suala hilo kuwa na mgawanyo wa makundi ambayo yanaweza kuvuruga umoja na mshikamano miongoni mwa Watanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS