Kikwete afungua michuano ya FEASSA
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Jakaya M. Kikwete amefungua michuano ya shule za sekondari kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki FEASSA ambayo imeanza kutimua vumbi hapo jana katika viwanja mbalimbali jijini Dar es salaam