Melone asimama kuhamasisha Muungano
Kutokana na kuwepo kwa mjadala mkubwa kuhusiana na swala la Muungano wa nchi ya Tanzania kwa sasa, wasanii wa muziki Melone na Mo Brigt wameamua kutengeneza ngoma ya pamoja ambayo ina lengo la kuhamasiha watanzania kudumisha muungano.