Yanga yanaswa Morogoro/Azam fc ikichanua Chamazi

Kikosi cha cha kwanza cha mabingwa wa ngao ya jamii timu ya Dar es salaam Yanga Afrikans.

Timu ya soka ya Dar es salaam Yanga SC imeanza vibaya ligi kuu ya soka Tanzania bara baaada ya kupokea kipigo cha mabao 2-0 toka kwa wenyeji woa timu ya soka ya Mtibwa Sugar katika mchezo mkali uliopigwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS