Octopizzo awapa shule wakimbizi

rapa wa nchini Kenya Octopizzo

Kutoka nchini Kenya, Rapa Octopizzo ameendelea na shughuli zake za hisani kutembelea kambi za wakimbizi kufundisha, kuhamasisha na kuwajenga vijana katika kambi hizo hususan katika nyanja za sanaa hususan muziki pamoja na michezo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS