Q Chilla alamba dili nono

msanii wa muziki wa bongofleva nchini Q Chief akiwa na Joseph Mhonda

Msanii wa muziki wa Bongofleva Abubakari Katwila almaarufu kama Q Chief amevunja ukimya kwa kupata dili la mkataba wa mamilioni na kampuni ambayo itakuwa ikisimamia kazi zake za muziki zitakazotengenezwa kwa ubora wa hali ya juu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS