Q Chilla alamba dili nono
Msanii wa muziki wa Bongofleva Abubakari Katwila almaarufu kama Q Chief amevunja ukimya kwa kupata dili la mkataba wa mamilioni na kampuni ambayo itakuwa ikisimamia kazi zake za muziki zitakazotengenezwa kwa ubora wa hali ya juu.