EALA lafurahishwa na utendaji wa vyombo vya IPP

Wajumbe wa Tume ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiongozwa na Spika wa Bunge hilo Bi. Margareth Ziwa walipotembelea vyombo vya habari vinavyomilikiwa na makampuni ya IPP.

Ujumbe wa Tume ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki leo umetembelea vyombo vya habari vilivyo chini ya makampuni ya IPP na kuelezea kuridhishwa na umahiri pamoja na teknolojia ya kisasa inayotumiwa na vyombo hivyo katika uandaaji wa habari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS