TCRA kutoa mafunzo kwa jeshi la Polisi

Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini Tanzania (TCRA) Bw. Innocent Mungi.

Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) imeanza zoezi la kuzunguka nchi nzima kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa jeshi la polisi kwa lengo la kupambana na uhalifu unaofanyika kupitia mitandao ya mawasiliano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS