Tunda Man atafuta vibali

msanii wa bongo Tundaman

Msanii wa muziki Tundaman amesema kuwa, katika mpango wake wa kuanzisha shule ya muziki, amekwishakamilisha sehemu kubwa ya kazi na sasa anashughulikia vibali vya serikali ili kuendesha shule hii kihalali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS