UTT MFI yatangaza neema kwa wajasiriamali

Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi nchini Tanzania, mhe. Mwigullu Nchemba.

UTT Microfinance Plc leo imezindua rasmi mtandao wa matawi yake sehemu mbalimbali nchini kwa lengo la kuwafikishia karibu zaidi huduma za kifedha hususan mikopo nafuu kwa wajasiriamali uzinduzi ulioongozwa na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS