Polisi yaja na mkakati kudhibiti mauaji ya albino

Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai nchini Tanzania DCI Issaya Mngulu.

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetangaza kuanza operesheni ya kusambaratisha mitandao inayotumika kuratibu mauwaji ya watu wenye albinism ikiwa ni siku chache baada ya kuripotiwa kuongezeka kwa matukio hayo nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS