Rais Kikwete aanzisha ujenzi Daraja la Kilombero

Kivuko kinachotumika kuvusha watu na magari katika mto Kilombero

Historia imeandikwa jioni ya jana, Jumatano, Agosti 20, 2014 katika Mkoa wa Morogoro na katika Tanzania. Kwa mara ya kwanza tokea enzi na enzi, magari yameweza kuvuka Mto wa Kilombero, moja ya mito mikubwa zaidi nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS