Wasanii wajitosa kuitangaza Ruvuma

wasanii katika uzinduzi wa kampeni ya 'Bwela Kuni'

Wasanii wanaotokea mkoa wa Ruvuma, kwa pamoja wamezindua rasmi kampeni inayojulikana kama 'Bwela Kuni' sambamba na Wimbo wa pamoja uliopatiwa jina 'Bwela Kuni', dhumuni kubwa ikiwa ni kutangaza mkoa huu, vipaji na rasilimali zake kwa watu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS