Wasanii wajitosa kuitangaza Ruvuma
Wasanii wanaotokea mkoa wa Ruvuma, kwa pamoja wamezindua rasmi kampeni inayojulikana kama 'Bwela Kuni' sambamba na Wimbo wa pamoja uliopatiwa jina 'Bwela Kuni', dhumuni kubwa ikiwa ni kutangaza mkoa huu, vipaji na rasilimali zake kwa watu.