Mawaziri Afrika Mashariki kujadili ebola
Naibu katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayeshughulikia miundombinu Dkt Enos Bukuku ameelezea mkakati wa kuwakutanisha mawaziri wa Afya nchi aa Afrika mashariki ili kujadili mbinu za kukabiliana na ugonjwa wa Ebola.