JK azidua mfumo wa huduma za Afya Masafa, Morogoro

Rais Kikwete akiwa ziarani mkoani Morogoro

Rais Kikwete ameanza ziara ya Mkoa wa Morogoro kwa kuzindua Mfumo wa Huduma za Afya za Masafa – telemedicine – katika Kituo cha Afya cha Mwaya, Wilaya ya Ulanga, ambako mtoto mchanga wa kike wa umri wa saa chache amepewa jina la Salma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS