Kilogramu 46 za bangi zakamatwa
Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma limekamata bangi magunia matatu yenye uzito wa kilogramu 46 na miche ya bangi iliyolimwa kwa kuchanganywa kwenye bustani ya mbogamboga pamoja na na nyara za serikali yakiwemo meno ya Tembo saba sawa na Tembo wanne.
