Bunge la Katiba liendelee-Baraza Vyama vya Siasa Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Tanzania Bw. Peter Kuga Mziray. Baraza la vyama vya siasia nchini Tanzania limetoa msimamo wake kuhusiana na hatma ya Bunge Maalumu la Katiba ambapo limetaka bunge hilo liendelee. Read more about Bunge la Katiba liendelee-Baraza Vyama vya Siasa