Michuano ya FEASA yasimamisha Rollball Afrika

Wachezaji wa timu ya Tanzania [Tiger Rollball Club] wakiwa katika mazoezi ya kujiandaa na michuano ya Afrika.

Baada ya kuingiliana kwa ratiba ya kuutumia uwanja wa ndani wa taifa jijini Dar es salaam kwa michuano ya Afrika ya mchezo wa Rollball na ile ya shule za sekondari kwa nchi za Afrika Mashariki sasa Rollball yasalim amri nakuahirisha michuano yao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS