Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi nchini Tanzania (kulia) Dkt Servacius Likwelile akiwa na mwakilishi wa Umoja wa Ulaya nchini Balozi Filberto Sebregondi.
Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa mwaka wa bodi ya magavana wa benki BOG utakaofanyika jijini Dar es salaam Agosti 22 mwaka huu.