Sumaye ashauri kusitishwa kwa Bunge la Katiba

Waziri Mkuu wa zamani Fredrick Sumaye.

Waziri mkuu wa zamani nchini Tanzania Fredrick Sumaye amependekeza kusitishwa kwa mjadala wa katiba mpya unaoendelea mjini Dodoma kwa kuwa inaonekana dhahiri kuwa si muda muafaka wa kupata katiba mpya kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS