Ruto akiri mauaji ya wanawake yamezidi Kenya

Rais wa Kenya William Ruto

Rais wa Kenya William Ruto, amekiri kuwepo kwa changamoto kubwa ya mauaji nchini kwake kufuatia mfululizo wa visa vya mauaji hasa ya wanawake na wasichana nchini humo, huku akisema kwamba kama Taifa inabidi suala la uhalifu na maadili liangaliwe kwa upana zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS