Ruben Amorim apewa miaka miwili na miezi 8 Man u

Taarifa rasmi kutoka ndani ya makao makuu ya kikosi hiko inatarajiwa kutoka  muda wowote siku ya leo na Mreno huyo anatarajia  kuanza kusimamia timu hiyo kwenye mchezo wa ligi kuu Uingereza dhdi ya Ipswich Town utakaochezwa Novemba 24, 2024. 

Klabu ya Manchester United inatarajia kumtangaza Ruben Amorim kuwa Kocha wao mpya muda wowote siku ya leo baada ya kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba wa Mkufunzi huyo kutoka timu yake ya Sporting Lisbon ya nchini Ureno. amesaini mkataba wa miaka miwili na miezi 18 utafikia tamati 2027.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS